Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ikawa kesho yake+ kwamba roho mbaya ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli,+ hivi kwamba akatenda kama nabii+ ndani ya nyumba, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake,+ kama katika siku za hapo zamani; na mkuki ulikuwa mkononi mwa Sauli.+

  • 1 Samweli 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na roho mbaya+ ya Yehova ikaja juu ya Sauli alipokuwa ameketi nyumbani mwake, mkuki ukiwa mkononi mwake, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake.

  • Ayubu 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,

      Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.

  • Ayubu 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndiyo, kwa kweli, Mungu hatendi kwa uovu,+

      Na Mweza-Yote hapotoshi hukumu.+

  • Waroma 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+

  • Waebrania 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+

  • Yakobo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu akiwa chini ya jaribu,+ yeye asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki