Waamuzi 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo Mungu akaacha roho mbaya+ itokee kati ya Abimeleki na wale wenye mashamba wa Shekemu, na hao wenye mashamba wa Shekemu wakamtendea Abimeleki hila,+ 1 Samweli 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na roho ya Yehova ikaondoka+ juu ya Sauli, nayo roho mbaya+ kutoka kwa Yehova ikamtia hofu. 1 Samweli 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na roho mbaya+ ya Yehova ikaja juu ya Sauli alipokuwa ameketi nyumbani mwake, mkuki ukiwa mkononi mwake, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake. Ayubu 34:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndiyo, kwa kweli, Mungu hatendi kwa uovu,+Na Mweza-Yote hapotoshi hukumu.+
23 Ndipo Mungu akaacha roho mbaya+ itokee kati ya Abimeleki na wale wenye mashamba wa Shekemu, na hao wenye mashamba wa Shekemu wakamtendea Abimeleki hila,+
9 Na roho mbaya+ ya Yehova ikaja juu ya Sauli alipokuwa ameketi nyumbani mwake, mkuki ukiwa mkononi mwake, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake.