-
1 Samweli 28:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Naye “Samweli” akaanza kumwambia Sauli: “Kwa nini umenisumbua kwa kufanya nipandishwe?”+ Na Sauli akasema: “Niko katika dhiki kali sana,+ kwa kuwa Wafilisti wanapigana nami, na Mungu ameniacha+ wala hakunipa jibu tena, ama kwa manabii ama kwa ndoto;+ ndiyo sababu ninakuita unijulishe jambo nitakalofanya.”+
-