15 Kisha “Samweli” akamuuliza Sauli: “Kwa nini umenisumbua kwa kufanya nipandishwe?” Sauli akamjibu: “Niko katika taabu kubwa. Wafilisti wanapigana nami, na Mungu ameniacha, hanijibu tena, iwe ni kupitia manabii au katika ndoto;+ ndiyo sababu nimekuita uniambie ninalopaswa kufanya.”+