2 Samweli 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa kwa kuwa amekufa, kwa nini nifunge? Je, ninaweza kumrudisha tena?+ Mimi nitakwenda kwake,+ lakini yeye hatarudi kwangu.”+ Zaburi 115:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wafu wenyewe hawamsifu Yah,+Wala wowote wanaoingia mahali penye kimya.+ Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+Siku hiyo mawazo yake hupotea.+ Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+ Mhubiri 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+
23 Sasa kwa kuwa amekufa, kwa nini nifunge? Je, ninaweza kumrudisha tena?+ Mimi nitakwenda kwake,+ lakini yeye hatarudi kwangu.”+
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+