Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+

      Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai.

  • Mhubiri 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wote wanaenda mahali pamoja.+ Wote wametoka katika mavumbi,+ nao wote wanarudi mavumbini.+

  • Mhubiri 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+

  • Matendo 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Wanaume, akina ndugu, inaruhusika kusema nanyi kwa uhuru wa kusema juu ya Daudi yule kichwa cha familia, kwamba alikufa+ na pia akazikwa na kaburi lake liko katikati yetu mpaka leo hii.

  • Matendo 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa kweli Daudi hakupanda mbinguni,+ bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume,+

  • Matendo 13:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Daudi,+ kwa upande mmoja, alitumikia mapenzi kamili ya Mungu katika kizazi chake mwenyewe na kulala katika kifo na alilazwa pamoja na mababu zake na kuona uharibifu.+

  • Waroma 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+​—​.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki