35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.
14 Kwa hiyo Kaburi* limeipanua sana nafsi yake nalo limekipanua kinywa chake kwa kupita mipaka;+ na kilicho cha fahari ndani yake, pia umati wake na ghasia yake na mwenye kufurahi, hakika wataingia ndani yake.+