Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.

  • 1 Wafalme 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nawe utende kulingana na hekima yako,+ na usiache mvi zake zishuke kwa amani+ katika Kaburi.*+

  • Isaya 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo Kaburi* limeipanua sana nafsi yake nalo limekipanua kinywa chake kwa kupita mipaka;+ na kilicho cha fahari ndani yake, pia umati wake na ghasia yake na mwenye kufurahi, hakika wataingia ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki