Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.

  • Mwanzo 42:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini, akasema: “Mwanangu hatashuka kwenda nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa naye amebaki peke yake.+ Tukio lenye kufisha likimpata katika njia mtakayoiendea, basi bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa huzuni mpaka katika Kaburi.”*+

  • Ayubu 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wingu kwa hakika hufikia mwisho wake na kwenda zake;

      Ndivyo ambavyo yeye anayeshuka katika Kaburi* hatapanda juu.+

  • Ufunuo 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na bahari ikawatoa wale wafu waliokuwa ndani yake, na kifo na Kaburi* vikawatoa wale wafu+ waliokuwa ndani yake, nao walihukumiwa kila mmoja kulingana na matendo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki