Zaburi 77:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika siku ya taabu yangu nimemtafuta Yehova mwenyewe.+Usiku, mkono wangu umenyooshwa wala haufi ganzi;Nafsi yangu imekataa kufarijiwa.+ Mathayo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Sauti ilisikiwa katika Rama,+ kulia na kuomboleza kwingi; ni Raheli+ aliyekuwa akiwalilia watoto wake, naye hakutaka kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
2 Katika siku ya taabu yangu nimemtafuta Yehova mwenyewe.+Usiku, mkono wangu umenyooshwa wala haufi ganzi;Nafsi yangu imekataa kufarijiwa.+
18 “Sauti ilisikiwa katika Rama,+ kulia na kuomboleza kwingi; ni Raheli+ aliyekuwa akiwalilia watoto wake, naye hakutaka kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”