Mwanzo 37:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wanawe wote na mabinti zake wote wakajaribu sana kumfariji, lakini alikataa kabisa kufarijiwa, akisema: “Nitashuka Kaburini*+ nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia. Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:35 Mnara wa Mlinzi,6/1/1995, uku. 7 Kuishi Milele, uku. 83
35 Na wanawe wote na mabinti zake wote wakajaribu sana kumfariji, lakini alikataa kabisa kufarijiwa, akisema: “Nitashuka Kaburini*+ nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.