Mwanzo 37:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia. Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:35 Mnara wa Mlinzi,6/1/1995, uku. 7 Kuishi Milele, uku. 83
35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.