Ayubu 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kabla sijaenda zangu—nami sitarudi+—Kwenye nchi ya giza na kivuli kizito,+ Ayubu 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwanadamu pia hulala chini wala haamki.+Hawataamka mpaka mbingu itakapokuwa haipo tena,+Wala hawataamshwa katika usingizi wao.+ Zaburi 78:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Naye akaendelea kukumbuka kwamba wao ni wenye mwili wa nyama,+Kwamba roho inaenda wala hairudi.+ Mhubiri 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+
12 Mwanadamu pia hulala chini wala haamki.+Hawataamka mpaka mbingu itakapokuwa haipo tena,+Wala hawataamshwa katika usingizi wao.+
10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+