Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Giza na kivuli kizito kiichukue.

      Wingu la mvua na likae juu yake.

      Vitu vinavyotia mchana giza na viitie hofu.+

  • Ayubu 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, wewe umefunuliwa malango ya kifo,+

      Au, je, unaweza kuona malango ya kivuli kizito?+

  • Zaburi 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+

      Siogopi chochote kibaya,+

      Kwa maana wewe uko pamoja nami;+

      Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+

  • Zaburi 88:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, jambo lako la ajabu litajulikana katika giza,+

      Au uadilifu wako katika nchi ya usahaulifu?+

  • Mhubiri 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki