Ayubu 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Giza na kivuli kizito kiichukue.Wingu la mvua na likae juu yake.Vitu vinavyotia mchana giza na viitie hofu.+ Ayubu 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, wewe umefunuliwa malango ya kifo,+Au, je, unaweza kuona malango ya kivuli kizito?+ Zaburi 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+Siogopi chochote kibaya,+Kwa maana wewe uko pamoja nami;+Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+ Zaburi 88:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, jambo lako la ajabu litajulikana katika giza,+Au uadilifu wako katika nchi ya usahaulifu?+ Mhubiri 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+
5 Giza na kivuli kizito kiichukue.Wingu la mvua na likae juu yake.Vitu vinavyotia mchana giza na viitie hofu.+
4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+Siogopi chochote kibaya,+Kwa maana wewe uko pamoja nami;+Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+
10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+