16 Kwa maana mtu mwenye hekima hakumbukwi zaidi ya yule mjinga mpaka wakati usio na kipimo.+ Siku ambazo tayari zinakuja, kila mtu husahauliwa; naye mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mjinga.+
10 Lakini, ingawa iko hivyo, nimewaona waovu wakizikwa,+ jinsi walivyokuja na jinsi walivyokuwa wakiondoka mahali patakatifu+ na kusahaulika katika jiji walikotenda hivyo.+ Hilo pia ni ubatili.