Kutoka 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya muda mfalme mpya ambaye hakumjua Yosefu akainuka juu ya Misri.+ Zaburi 103:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana upepo unapita juu yake, nalo halipo tena;+Napo mahali pake hapataendelea kulitambua tena.+ Mhubiri 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Watu wa nyakati zilizopita hawakumbukwi, wala wale watakaokuja baadaye hawatakumbukwa.+ Nao pia hawatakumbukwa kati ya wale watakaokuja baadaye.+
16 Kwa maana upepo unapita juu yake, nalo halipo tena;+Napo mahali pake hapataendelea kulitambua tena.+
11 Watu wa nyakati zilizopita hawakumbukwi, wala wale watakaokuja baadaye hawatakumbukwa.+ Nao pia hawatakumbukwa kati ya wale watakaokuja baadaye.+