Mhubiri 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mtu mwenye hekima hakumbukwi zaidi ya yule mjinga mpaka wakati usio na kipimo.+ Siku ambazo tayari zinakuja, kila mtu husahauliwa; naye mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mjinga.+ Isaya 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+
16 Kwa maana mtu mwenye hekima hakumbukwi zaidi ya yule mjinga mpaka wakati usio na kipimo.+ Siku ambazo tayari zinakuja, kila mtu husahauliwa; naye mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mjinga.+
6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+