Ayubu 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Amechanuka kama ua na kukatiliwa mbali,+Naye hukimbia kama kivuli+ wala haendelei kuwako. Zaburi 90:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Asubuhi huchanua maua na lazima yabadilike;+Jioni, hunyauka na hakika hukauka.+