Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+

      Yeye huchanuka kama ua la shambani.+

  • Isaya 40:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?”

      “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+

  • Yakobo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na tajiri+ kushushwa kwake, kwa sababu atapitilia mbali kama ua la majani.+

  • 1 Petro 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki