Zaburi 103:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+ Isaya 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+ Yakobo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na tajiri+ kushushwa kwake, kwa sababu atapitilia mbali kama ua la majani.+ 1 Petro 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+
15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+
6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+
24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+