Ayubu 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Amechanuka kama ua na kukatiliwa mbali,+Naye hukimbia kama kivuli+ wala haendelei kuwako. Isaya 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+ Yakobo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana jua huchomoza pamoja na joto lake lenye kuunguza na kuyanyausha majani, na ua lake huanguka na uzuri wa sura yake ya nje huharibika. Vivyo hivyo, pia, mtu tajiri atanyauka katika njia zake za maisha.+ 1 Petro 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+
6 Sikiliza! Mtu anasema: “Ita!”+ Na mtu akasema: “Niite nini?” “Wanadamu wote ni majani mabichi, na fadhili zao zote zenye upendo ni kama ua la shambani.+
11 Kwa maana jua huchomoza pamoja na joto lake lenye kuunguza na kuyanyausha majani, na ua lake huanguka na uzuri wa sura yake ya nje huharibika. Vivyo hivyo, pia, mtu tajiri atanyauka katika njia zake za maisha.+
24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+