1 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini. Zaburi 102:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku zangu ni kama kivuli ambacho kimepungua,+nami mwenyewe nimekauka kama majani tu.+ Zaburi 144:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anafanana na pumzi tu;+Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+ Mhubiri 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+
15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini.
13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+