Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini ikiwa hamtafanya hivyo, mtakuwa mmemtendea Yehova dhambi.+ Na kwa hiyo jueni kwamba dhambi yenu itawafikia ninyi.+

  • Ayubu 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Pia nuru ya waovu itazimwa+

      Na cheche ya moto wake haitang’aa.

  • Zaburi 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+

      Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+

  • Zaburi 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+

      Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+

  • Isaya 57:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hakuna amani,” Mungu wangu amesema, “kwa waovu.”+

  • Mathayo 25:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+

  • 2 Petro 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini watu hawa, kama wanyama wasiofikiri waliozaliwa kiasili ili kukamatwa na kuangamizwa, katika mambo ambayo wao hawayajui na kuyatukana,+ watapatwa na maangamizi katika mwendo wao wenyewe wa maangamizi,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki