Hesabu 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini ikiwa hamtafanya hivyo, mtakuwa mmemtendea Yehova dhambi.+ Na kwa hiyo jueni kwamba dhambi yenu itawafikia ninyi.+ Ayubu 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia nuru ya waovu itazimwa+Na cheche ya moto wake haitang’aa. Zaburi 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+ Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Isaya 57:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hakuna amani,” Mungu wangu amesema, “kwa waovu.”+ Mathayo 25:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+ 2 Petro 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini watu hawa, kama wanyama wasiofikiri waliozaliwa kiasili ili kukamatwa na kuangamizwa, katika mambo ambayo wao hawayajui na kuyatukana,+ watapatwa na maangamizi katika mwendo wao wenyewe wa maangamizi,
23 Lakini ikiwa hamtafanya hivyo, mtakuwa mmemtendea Yehova dhambi.+ Na kwa hiyo jueni kwamba dhambi yenu itawafikia ninyi.+
5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+
12 Lakini watu hawa, kama wanyama wasiofikiri waliozaliwa kiasili ili kukamatwa na kuangamizwa, katika mambo ambayo wao hawayajui na kuyatukana,+ watapatwa na maangamizi katika mwendo wao wenyewe wa maangamizi,