Methali 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Watenda-dhambi ndio hufuatwa na msiba,+ lakini waadilifu ndio ambao wema huwapa thawabu.+ Isaya 59:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana maasi yetu yamekuwa mengi mbele zako;+ nazo dhambi zetu, kila moja imeshuhudia juu yetu.+ Kwa maana maasi yetu yapo pamoja nasi; nayo makosa yetu tunayajua vema.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
12 Kwa maana maasi yetu yamekuwa mengi mbele zako;+ nazo dhambi zetu, kila moja imeshuhudia juu yetu.+ Kwa maana maasi yetu yapo pamoja nasi; nayo makosa yetu tunayajua vema.+