7 Ukigeuka utende mema, je, hutainuliwa?+ Lakini usipogeuka utende mema, kuna dhambi inayovizia katika mwingilio, nayo inakutamani+ wewe. Je, wewe utaishinda?”+
20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+