Isaya 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+ Ezekieli 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye alijiendesha kwa kuyaasi maamuzi yangu ya hukumu katika uovu kuliko mataifa,+ na kuziasi sheria zangu kuliko nchi zinazomzunguka pande zote, kwa maana waliyakataa maamuzi yangu ya hukumu, nao hawakutembea katika sheria zangu.’+ 1 Wathesalonike 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,
5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+
6 Naye alijiendesha kwa kuyaasi maamuzi yangu ya hukumu katika uovu kuliko mataifa,+ na kuziasi sheria zangu kuliko nchi zinazomzunguka pande zote, kwa maana waliyakataa maamuzi yangu ya hukumu, nao hawakutembea katika sheria zangu.’+
15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,