Nehemia 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Nao wenyewe, mababu zetu, wakatenda kwa kimbelembele+ na kufanya shingo zao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza amri zako. Zaburi 78:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawakulishika agano la Mungu,+Nao wakakataa kutembea katika sheria yake.+ Yeremia 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nini watu hawa, Yerusalemu, wanakosa uaminifu kwa ukosefu wa uaminifu unaodumu? Wameshika udanganyifu;+ wamekataa kurudi.+ Yeremia 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamerudi kwenye makosa ya mababu zao,+ wale wa kwanza, waliokataa kuyatii maneno yangu, lakini ambao wenyewe wameifuata miungu mingine ili kuitumikia.+ Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda zimevunja agano langu nililofanya pamoja na mababu zao.+
16 “Nao wenyewe, mababu zetu, wakatenda kwa kimbelembele+ na kufanya shingo zao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza amri zako.
5 Kwa nini watu hawa, Yerusalemu, wanakosa uaminifu kwa ukosefu wa uaminifu unaodumu? Wameshika udanganyifu;+ wamekataa kurudi.+
10 Wamerudi kwenye makosa ya mababu zao,+ wale wa kwanza, waliokataa kuyatii maneno yangu, lakini ambao wenyewe wameifuata miungu mingine ili kuitumikia.+ Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda zimevunja agano langu nililofanya pamoja na mababu zao.+