Zaburi 119:118 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 118 Umewarusha mbali wale wote wanaoondoka katika masharti yako;+Kwa maana ujanja wao ni uwongo.+ Yeremia 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Unaketi katikati ya udanganyifu.+ Kupitia udanganyifu wamekataa kunijua mimi,”+ asema Yehova.