Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nao wakajaribu kumpumbaza kwa kinywa chao;+

      Na kwa ulimi wao wakajaribu kumwambia uwongo.+

  • Yeremia 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa nini watu hawa, Yerusalemu, wanakosa uaminifu kwa ukosefu wa uaminifu unaodumu? Wameshika udanganyifu;+ wamekataa kurudi.+

  • Yeremia 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uwongo katika jina langu.+ Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uwongo na uaguzi na kitu kisicho na thamani+ na udanganyifu wa moyo wao ndiyo mambo wanayowaambia ninyi kwa njia ya unabii.+

  • Yeremia 23:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Itadumu mpaka wakati gani katika moyo wa manabii wanaotoa unabii wa uwongo na ambao ni manabii wa udanganyifu wa moyo wao wenyewe?+

  • Waefeso 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukirushwa huku na huku+ kama kwa mawimbi na kuchukuliwa huku na huku na kila upepo wa fundisho+ kupitia udanganyifu+ wa watu, kwa njia ya ujanja katika kutunga kosa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki