Isaya 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+ Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+
20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+