Maombolezo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+ Ezekieli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hakutakuwako tena maono yoyote yasiyo na thamani+ wala uaguzi wenye nyuso mbili katikati ya nyumba ya Israeli.+ Zekaria 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana terafimu+ zimesema mambo ya uchawi; nao waaguzi wameona maono ya uwongo,+ nao huendelea kusema ndoto za bure, nao hujaribu kufariji kwa ubatili.+ Ndiyo sababu wataondoka kama kundi;+ watateseka, kwa sababu hakuna mchungaji.+
14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+
24 Kwa maana hakutakuwako tena maono yoyote yasiyo na thamani+ wala uaguzi wenye nyuso mbili katikati ya nyumba ya Israeli.+
2 Kwa maana terafimu+ zimesema mambo ya uchawi; nao waaguzi wameona maono ya uwongo,+ nao huendelea kusema ndoto za bure, nao hujaribu kufariji kwa ubatili.+ Ndiyo sababu wataondoka kama kundi;+ watateseka, kwa sababu hakuna mchungaji.+