Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe za chuma na kusema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Kwa kutumia hizi utawasukuma Wasiria mpaka uwaangamize.’”+

  • Yeremia 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uwongo katika jina langu.+ Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uwongo na uaguzi na kitu kisicho na thamani+ na udanganyifu wa moyo wao ndiyo mambo wanayowaambia ninyi kwa njia ya unabii.+

  • Maombolezo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+

      Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+

      Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki