Yeremia 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:14 w08 4/15 5 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:14 Mnara wa Mlinzi,4/15/2008, uku. 5
14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+