Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mwenye kuzeeka na mwenye kuheshimiwa sana ndiye kichwa,+ na nabii anayetoa mafundisho ya uwongo ndiye mkia.+

  • Yeremia 23:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Nimesikia yale ambayo manabii wanaotoa unabii wa uwongo katika jina langu+ wamesema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’+

  • Yeremia 27:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana wao wanawatolea unabii wa uwongo, kusudi mpelekwe mbali kutoka katika nchi yenu; nami niwatawanye, nanyi mwangamie.+

  • Yeremia 29:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Msiache manabii wenu walio katikati yenu na waaguzi wenu wawadanganye,+ nanyi msisikilize ndoto zao ambazo wanaota.+

  • Yeremia 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi kumhusu Ahabu mwana wa Kolaya na kumhusu Sedekia mwana wa Maaseya, ambao wanawatolea ninyi unabii wa uwongo katika jina langu mwenyewe,+ ‘Tazama, nitawatia mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, naye atawapiga na kuwaua mbele ya macho yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki