Yeremia 29:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Msiwaruhusu manabii wenu na waaguzi* wenu walio miongoni mwenu wawadanganye,+ nanyi msisikilize ndoto wanazoota. Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 29:8 w96 10/1 5 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 29:8 Mnara wa Mlinzi,10/1/1996, kur. 5-6
8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Msiwaruhusu manabii wenu na waaguzi* wenu walio miongoni mwenu wawadanganye,+ nanyi msisikilize ndoto wanazoota.