Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uwongo katika jina langu.+ Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uwongo na uaguzi na kitu kisicho na thamani+ na udanganyifu wa moyo wao ndiyo mambo wanayowaambia ninyi kwa njia ya unabii.+

  • Yeremia 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Sikuwatuma manabii, ingawa wao wenyewe walikimbia. Sikusema nao, ingawa wao wenyewe walitoa unabii.+

  • Yeremia 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nanyi msiyasikilize maneno ya manabii wanayowaambia, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babiloni,’+ kwa sababu wanawatolea unabii wa uwongo.+

  • Waefeso 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtu yeyote asiwadanganye ninyi kwa maneno matupu,+ kwa maana kwa sababu ya mambo yaliyotangulia kusemwa ghadhabu ya Mungu inakuja juu ya wana wa kutotii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki