Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uwongo katika jina langu.+ Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uwongo na uaguzi na kitu kisicho na thamani+ na udanganyifu wa moyo wao ndiyo mambo wanayowaambia ninyi kwa njia ya unabii.+

  • Yeremia 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Sikuwatuma manabii, ingawa wao wenyewe walikimbia. Sikusema nao, ingawa wao wenyewe walitoa unabii.+

  • Yeremia 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yeremia nabii akaendelea kumwambia Hanania+ nabii: “Tafadhali, sikiliza, Ee Hanania! Yehova hakukutuma wewe, bali wewe mwenyewe umewafanya watu hawa wautegemee uwongo.+

  • Yeremia 29:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Msiache manabii wenu walio katikati yenu na waaguzi wenu wawadanganye,+ nanyi msisikilize ndoto zao ambazo wanaota.+

  • Ezekieli 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Wameona maono ya jambo lisilo la kweli na uaguzi wa uwongo,+ wale wanaosema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati ambapo Yehova mwenyewe hajawatuma, nao wamengoja neno litimie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki