28 Kisha ikawa kwamba mwaka huo, katika mwanzo wa ufalme wa Sedekia+ mfalme wa Yuda, katika mwaka wa nne, mwezi wa tano, Hanania+ mwana wa Azuri, yule nabii kutoka Gibeoni,+ akaniambia hivi ndani ya nyumba ya Yehova mbele ya macho ya makuhani na ya watu wote: