Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova,+ wakatumikia Mabaali.+

  • Zaburi 78:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nao wasiwe kama mababu zao,+

      Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+

      Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+

      Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+

  • Ezekieli 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nami nikawaambia wana wao nyikani,+ ‘Msitembee katika masharti ya mababu zenu,+ wala msizishike hukumu zao,+ wala msijitie unajisi kwa sanamu zao za mavi.+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki