18 Nami nikawaambia wana wao nyikani,+ ‘Msitembee katika masharti ya mababu zenu,+ wala msizishike hukumu zao,+ wala msijitie unajisi kwa sanamu zao za mavi.+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+