Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+

  • Waamuzi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ nao wakaanza kutumikia Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi+ na miungu ya Siria+ na miungu ya Sidoni+ na miungu ya Moabu+ na miungu ya wana wa Amoni+ na miungu ya Wafilisti.+ Basi wakamwacha Yehova wala hawakumtumikia yeye.+

  • 1 Wafalme 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye akasema: “Mimi sikuleta taabu juu ya Israeli,+ lakini ni wewe na nyumba ya baba yako,+ kwa sababu ninyi mmeziacha amri za Yehova,+ nawe ukaanza kufuata Mabaali.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+

  • Yeremia 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Jinsi gani unaweza kusema, ‘Mimi sikujitia unajisi.+ Sikufuata Mabaali’?+ Ona njia yako katika bonde.+ Angalia lile ambalo umefanya. Ngamia-jike mchanga aliye mwepesi ambaye anakimbia huku na huku bila mwelekeo katika njia zake;

  • Hosea 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitamtoza hesabu+ kwa ajili ya siku za sanamu za Baali+ alizokuwa akifukizia moshi,+ wakati alipokuwa akijipamba kwa pete yake na pambo+ lake na kuwafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ naye alinisahau+ mimi,’ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki