10 Kwa maana umemsahau+ Mungu wa wokovu wako;+ nawe hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako. Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa yenye kupendeza, nawe unayaweka chipukizi la mgeni.
32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake, na bibi-arusi mavazi yake ya kifuani? Lakini watu wangu mwenyewe—wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.+
12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.