Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Walimsahau Mungu Mwokozi wao,+

      Mtendaji wa mambo makuu nchini Misri,+

  • Isaya 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana umemsahau+ Mungu wa wokovu wako;+ nawe hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako. Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa yenye kupendeza, nawe unayaweka chipukizi la mgeni.

  • Yeremia 13:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hii ndiyo kura yako, fungu lako lililopimwa kutoka kwangu,”+ asema Yehova, “kwa sababu umenisahau+ nawe unaendelea kuutegemea uwongo.+

  • Yeremia 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana watu wangu wamenisahau+ kwa kuwa wanakifukizia moshi wa dhabihu kitu cha ubatili,+ na kwa kuwa wanawakwaza watu katika njia zao,+ mapito ya zamani za kale,+ kutembea katika barabara, njia ambayo haijatengenezwa ikiwa na mafungu,

  • Hosea 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Israeli akaanza kumsahau Mtengenezaji wake+ na kujenga mahekalu;+ naye Yuda akazidisha majiji yenye ngome.+ Nami nitapeleka moto katika majiji yake nao utateketeza minara ya makao ya kila mmoja.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki