Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na mseme, ‘Utuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Na utukusanye pamoja na kutukomboa kutoka kwa mataifa,+

      Ili tulishukuru jina lako takatifu,+ ili tukusifu kwa shangwe.+

  • Zaburi 65:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Utatujibu kwa mambo yenye kuogopesha katika uadilifu,+

      Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Tegemeo la mipaka yote ya dunia na wale walio mbali baharini.+

  • Zaburi 79:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+

      Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+

  • Habakuki 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+

  • Ufunuo 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki