1 Mambo ya Nyakati 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na mseme, ‘Utuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Na utukusanye pamoja na kutukomboa kutoka kwa mataifa,+Ili tulishukuru jina lako takatifu,+ ili tukusifu kwa shangwe.+ Zaburi 65:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Utatujibu kwa mambo yenye kuogopesha katika uadilifu,+Ee Mungu wa wokovu wetu,+Tegemeo la mipaka yote ya dunia na wale walio mbali baharini.+ Zaburi 79:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+ Habakuki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+ Ufunuo 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+
35 Na mseme, ‘Utuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Na utukusanye pamoja na kutukomboa kutoka kwa mataifa,+Ili tulishukuru jina lako takatifu,+ ili tukusifu kwa shangwe.+
5 Utatujibu kwa mambo yenye kuogopesha katika uadilifu,+Ee Mungu wa wokovu wetu,+Tegemeo la mipaka yote ya dunia na wale walio mbali baharini.+
9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+
18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+
10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+