Kumbukumbu la Torati 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye ndiye unayepaswa kumsifu,+ naye ni Mungu wako, ambaye amekutendea wewe mambo haya makuu na yenye kuogopesha ambayo macho yako yameona.+ Zaburi 47:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova, Aliye Juu Zaidi, ni mwenye kuogopesha,+Mfalme mkuu juu ya dunia yote.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
21 Yeye ndiye unayepaswa kumsifu,+ naye ni Mungu wako, ambaye amekutendea wewe mambo haya makuu na yenye kuogopesha ambayo macho yako yameona.+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+