Kutoka 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao. Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+
3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao.
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+