17Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+
11 Tena Mungu akamwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Zaa uongezeke. Mataifa na kutaniko la mataifa yatatoka ndani yako, na wafalme watatoka viunoni mwako.+