Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na jina lako halitakuwa Abramu tena, jina lako litakuwa Abrahamu, kwa sababu nitakufanya kuwa baba ya umati wa mataifa.

  • Mwanzo 48:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akaniambia, ‘Tazama, nakufanya uzae,+ nami nitakufanya kuwa wengi na nitakufanya uwe kutaniko la vikundi vya watu,+ nami nitaupa uzao wako baada yako nchi hii iwe miliki mpaka wakati usio na kipimo.’+

  • Marko 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Acheni Kristo Mfalme wa Israeli ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso, ili tupate kuona na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini pamoja naye walikuwa wakimshutumu.+

  • Yohana 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 wakachukua matawi ya mitende+ na kutoka nje wakutane naye. Nao wakaanza kupaaza sauti:+ “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova,+ naam, mfalme+ wa Israeli!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki