Mathayo 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi kiovu na chenye uzinzi kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara ambayo kitapewa+ ila ile ishara ya Yona.”+ Ndipo akawaacha, akaenda zake.+ Mathayo 27:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 “Aliwaokoa wengine; yeye mwenyewe hawezi kujiokoa! Yeye ni Mfalme+ wa Israeli; acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso nasi tutamwamini.+ Waroma 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, hali ikoje? Ikiwa wengine hawakuonyesha imani,+ je, ukosefu wao wa imani labda utafanya uaminifu+ wa Mungu usiwe na matokeo?+
4 Kizazi kiovu na chenye uzinzi kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara ambayo kitapewa+ ila ile ishara ya Yona.”+ Ndipo akawaacha, akaenda zake.+
42 “Aliwaokoa wengine; yeye mwenyewe hawezi kujiokoa! Yeye ni Mfalme+ wa Israeli; acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso nasi tutamwamini.+
3 Basi, hali ikoje? Ikiwa wengine hawakuonyesha imani,+ je, ukosefu wao wa imani labda utafanya uaminifu+ wa Mungu usiwe na matokeo?+