Marko 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Acheni Kristo Mfalme wa Israeli ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso, ili tupate kuona na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini pamoja naye walikuwa wakimshutumu.+
32 Acheni Kristo Mfalme wa Israeli ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso, ili tupate kuona na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini pamoja naye walikuwa wakimshutumu.+