2 na ili upate kutangaza masikioni mwa mwana wako na mwana wa mwana wako jinsi ambavyo nimeshughulika vikali na Misri na ishara zangu ambazo nimesimamisha katikati yao;+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova.”+
14 Simioni+ ameeleza kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+