Kutoka 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nawe utamwambia mwana wako siku hiyo, na kusema, ‘Ni kwa sababu ya jambo ambalo Yehova amenifanyia nilipotoka Misri.’+ Kumbukumbu la Torati 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+ Kumbukumbu la Torati 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa kwa Farao katika Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.+ Zaburi 44:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,Mababu zetu wenyewe wametusimulia+Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+Siku za zamani za kale.+ Zaburi 78:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+Na sheria akaiweka katika Israeli,+Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+Wawajulishe wana wao;+ Yoeli 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kuhusu hilo wasimulieni wana wenu wenyewe, nao wawasimulie wana wao, nao wana wao wasimulie kizazi kinachofuata.+
8 Nawe utamwambia mwana wako siku hiyo, na kusema, ‘Ni kwa sababu ya jambo ambalo Yehova amenifanyia nilipotoka Misri.’+
9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+
21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa kwa Farao katika Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.+
44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,Mababu zetu wenyewe wametusimulia+Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+Siku za zamani za kale.+
5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+Na sheria akaiweka katika Israeli,+Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+Wawajulishe wana wao;+
3 Kuhusu hilo wasimulieni wana wenu wenyewe, nao wawasimulie wana wao, nao wana wao wasimulie kizazi kinachofuata.+