Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nawe utamwambia mwana wako siku hiyo, na kusema, ‘Ni kwa sababu ya jambo ambalo Yehova amenifanyia nilipotoka Misri.’+

  • Kumbukumbu la Torati 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+

  • Kumbukumbu la Torati 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa kwa Farao katika Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.+

  • Zaburi 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,

      Mababu zetu wenyewe wametusimulia+

      Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+

      Siku za zamani za kale.+

  • Zaburi 78:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+

      Na sheria akaiweka katika Israeli,+

      Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+

      Wawajulishe wana wao;+

  • Yoeli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kuhusu hilo wasimulieni wana wenu wenyewe, nao wawasimulie wana wao, nao wana wao wasimulie kizazi kinachofuata.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki