14 Nao nzige wakaanza kuja juu ya nchi yote ya Misri na kutua juu ya eneo lote la Misri.+ Walikuwa wenye kulemea sana.+ Kabla yao hawakuwa wametokea kamwe jinsi hiyo nzige wengine kama wao, wala hakutatokea wowote kamwe jinsi hiyo baada yao.
14 “Na itakuwa kwamba ikiwa mwana wako atakuuliza baadaye,+ na kusema, ‘Hili linamaanisha nini?’ basi utamwambia, ‘Kwa nguvu za mkono, Yehova alitutoa Misri,+ katika nyumba ya watumwa.+
22 “Nacho kizazi cha wakati ujao, wana wenu watakaoinuka baada yenu, watalazimika kusema, pia mgeni atakayekuja kutoka katika nchi ya mbali, naam, wakati ambapo wameona mapigo ya nchi hiyo na magonjwa yake ambayo Yehova ameifanya iugue,+